SURA YA 13-1. Ishi Kwa Ajili ya Haki ya Mungu

Episode 27 January 13, 2023 00:11:26
SURA YA 13-1. Ishi Kwa Ajili ya Haki ya Mungu
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)
SURA YA 13-1. Ishi Kwa Ajili ya Haki ya Mungu

Jan 13 2023 | 00:11:26

/

Show Notes

Ni lazima tuishi katika mipaka ya desturi za kijamii. Mungu alituamuru kuwaogopa na kuwaheshimu wale walio na mamlaka katika maisha yetu yote ya kimwili na kiroho. Mungu anatoa mamlaka kwa maofisa wa serikali kwa sababu maalumu na kwa hiyo hatupaswi kuwadharau. Ni lazima tuukumbuke msemo wa Paulo akisema, “Msiwiwe na mtu cho chote isipokuwa kupendana” (Warumi 13:8).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 15

January 13, 2023 00:35:44
Episode Cover

SURA YA 8-9. Vitu Vyote Vinafanya Kazi Pamoja Kwa Ajili ya Mema (Warumi 8:28-30)

Leo, hebu tukiangalie kifungu hicho hapo juu kinachotoka katika Warumi sura ya 8. Kifungu kinasema kuwa Mungu alituchagua tangu asili, alituita, na akatutukuza sisi...

Listen

Episode 21

January 13, 2023 00:36:57
Episode Cover

SURA YA 9-2. Ni Lazima Tufahamu Kuwa Kuchaguliwa Tangu Asili Kulipangwa Ndani ya Haki ya Mungu (Warumi 9:9-33)

Hebu sasa tuweke umakini wetu juu ‘kuchaguliwa tangu asili kulikopangwa na Mungu”. Ili kuelewa kiusahihi juu ya maana ya kuchaguliwa tangu asili, basi tunapaswa...

Listen

Episode 16

January 13, 2023 00:30:05
Episode Cover

SURA YA 8-10. Mafundisho ya Kidini Yenye Makosa (Warumi 8:29-30)

Vifungu hivyo vinatueleza sisi kuwa Mungu alichagua tangu asili ili kuwaokoa watu katika Yesu Kristo. Ili kufanya hivyo, Mungu amewaita wao katika Kristo, amewahesabia...

Listen