“Ibada yenye maana” ni kitu gani? Imetafsiriwa kama “tendo la kiroho la ibada” katika Biblia ya Kiingereza ya (NIV), imetafsiriwa kama ambayo tunapaswa kumpatia Mungu. Kumpatia Mungu ibada yenye maana kuna maanisha ni kuitoa miili yetu kwa Mungu katika kuifanya kazi yake ya haki. Kwa kuwa tumeokolewa, basi tunahitaji kuitoa miili yetu na kukubaliwa na Mungu katika kuieneza injili ya haki. Ibada yenye maana ambayo tunapaswa kumpatia Mungu ni kuitoa miili yetu katika utakatifu na kumpatia Mungu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Biblia inatueleza sisi pia kuwa, “kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.” Na hizo ndio sheria zinazotutawala....
Kwa kuutambua ukweli kuwa kabla ya ukombozi wake mwili wake ulikuwa umehukumiwa kifo na Sheria ya Mungu, basi ndio maana Mtume Paulo alilifanya ungamo...
Leo, hebu tukiangalie kifungu hicho hapo juu kinachotoka katika Warumi sura ya 8. Kifungu kinasema kuwa Mungu alituchagua tangu asili, alituita, na akatutukuza sisi...