SURA YA 9-3. Je, Ni Makosa Kwa Mungu Kumpenda Yakobo? (Warumi 9:30-33)

Episode 22 January 13, 2023 00:28:35
SURA YA 9-3. Je, Ni Makosa Kwa Mungu Kumpenda Yakobo? (Warumi 9:30-33)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)
SURA YA 9-3. Je, Ni Makosa Kwa Mungu Kumpenda Yakobo? (Warumi 9:30-33)

Jan 13 2023 | 00:28:35

/

Show Notes

Katika kutuita sisi sote Bwana wetu alisema, “Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi” (Mathayo 9:13). Ni lazima tutambue kuwa karama ya wokovu hairuhusiwi kwa wale wanaoifuata haki yao wenyewe, ili kuepuka hali hii tunapaswa kuamini katika haki ya Mungu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 29

January 13, 2023 00:21:47
Episode Cover

SURA YA 15-1. Hebu Tuihubiri Injili Katika Ulimwengu Wote

Wale wanaoamini katika haki ya Mungu hawapaswi kuitafuta hai yao wenyewe kwa kuwa Yesu Kristo hakuitafuta haki yake mwenyewe. Wenye haki wanaishi kwa ajili...

Listen

Episode 12

January 13, 2023 00:45:17
Episode Cover

SURA YA 8-6. Wale Waurithio Ufalme wa Mungu (Warumi 8:16-27)

Watu wote ambao wamesamehewa dhambi zao wanaamini katika injili ya maji na Roho na wana Roho Mtakatifu katika mioyo yao. Katika 1 Yohana 5:10...

Listen

Episode 23

January 13, 2023 00:39:07
Episode Cover

SURA YA 10-1. Utangulizi Kwa Sura ya 10

Je, kuna watu ambao wanaifuata haki yao wenyewe huku wakiwa wanaiamini injili ya maji na Roho? Maandiko yanasema kuwa watu wa jinsi hiyo wasioiamini...

Listen