SURA YA 15-1. Hebu Tuihubiri Injili Katika Ulimwengu Wote

Episode 29 January 13, 2023 00:21:47
SURA YA 15-1. Hebu Tuihubiri Injili Katika Ulimwengu Wote
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)
SURA YA 15-1. Hebu Tuihubiri Injili Katika Ulimwengu Wote

Jan 13 2023 | 00:21:47

/

Show Notes

Wale wanaoamini katika haki ya Mungu hawapaswi kuitafuta hai yao wenyewe kwa kuwa Yesu Kristo hakuitafuta haki yake mwenyewe. Wenye haki wanaishi kwa ajili ya Ufalme wa Mungu na wanaihubiri injili kwa ajili ya mema ya wengine. Paulo alisema kuwa wenye nguvu wanapaswa kubeba mapungufu ya wadhaifu badala ya kujipendeza wao wenyewe.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 20

January 13, 2023 00:32:52
Episode Cover

SURA YA 9-1. Utangulizi Kwa Sura ya 9

Kwa nini Paulo alisema kuwa anahuzuni sana na uchungu unaoendelea katika moyo wake kwa ajili ya watu wake? Ni kwa sababu Paulo alikuwa ana...

Listen

Episode 19

January 13, 2023 00:36:42
Episode Cover

SURA YA 8-13. Ni Nani Atakayewatenga Wenye Haki na Upendo wa Kristo? (Warumi 8:35-39)

Aya ya 35 inasema, “Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je! Ni dhiki au shida, au adha, au njaa, au uchi, au hatari,...

Listen

Episode 9

January 13, 2023 00:04:02
Episode Cover

SURA YA 8-3. Mkristo ni Nani? (Warumi 8:9-11)

Ikiwa mtu ni Mkristo wa kweli au la mtu huyo anatofautishwa kwa kigezo ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yake au la. Inawezakanaje kwa...

Listen