SURA YA 8-6. Wale Waurithio Ufalme wa Mungu (Warumi 8:16-27)

Episode 12 January 13, 2023 00:45:17
SURA YA 8-6. Wale Waurithio Ufalme wa Mungu (Warumi 8:16-27)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)
SURA YA 8-6. Wale Waurithio Ufalme wa Mungu (Warumi 8:16-27)

Jan 13 2023 | 00:45:17

/

Show Notes

Watu wote ambao wamesamehewa dhambi zao wanaamini katika injili ya maji na Roho na wana Roho Mtakatifu katika mioyo yao. Katika 1 Yohana 5:10 Biblia inasema, “Yeye amwaminiye Mwana wa Mungu anao huo ushuhuda ndani yake”. Yeye aliye na haki ya Mungu katika moyo wake anaye huyo Roho Mtakatifu ndani yake, na ni imani katika injili ya maji na Roho inayomfanya Roho Mtakatifu aweze kukaa milele katika moyo wa mtu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 1

January 13, 2023 00:18:49
Episode Cover

SURA YA 7-1. Utangulizi Kwa Sura ya 7

Kwa kuutambua ukweli kuwa kabla ya ukombozi wake mwili wake ulikuwa umehukumiwa kifo na Sheria ya Mungu, basi ndio maana Mtume Paulo alilifanya ungamo...

Listen

Episode 7

January 13, 2023 00:06:28
Episode Cover

SURA YA 8-1. Utangulizi Kwa Sura ya 8

Pengine sura ya 8 inaweza kuelezewa kuwa ni sura muhimu sana miongoni mwa sura kadhaa za kitabu hiki cha Warumi. Paulo anatufunulia jinsi ambavyo...

Listen

Episode 24

January 13, 2023 00:34:03
Episode Cover

SURA YA 10-2. Imani ya Kweli Huja Kwa Kusikia (Warumi 10:16-21)

Aya ya 17 inasema, “Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.” Je, imani inayomwokoa mtu katika dhambi zake...

Listen