SURA YA 10-1. Utangulizi Kwa Sura ya 10

Episode 23 January 13, 2023 00:39:07
SURA YA 10-1. Utangulizi Kwa Sura ya 10
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)
SURA YA 10-1. Utangulizi Kwa Sura ya 10

Jan 13 2023 | 00:39:07

/

Show Notes

Je, kuna watu ambao wanaifuata haki yao wenyewe huku wakiwa wanaiamini injili ya maji na Roho? Maandiko yanasema kuwa watu wa jinsi hiyo wasioiamini haki ya Mungu na badala yake wanaifuata haki yao wenyewe wanasimama kinyume na Mungu. Watu hawa watafanya nini?

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 26

January 13, 2023 00:28:55
Episode Cover

SURA YA 12-1. Zifanye Upya Akili Zako Mbele za Mungu

“Ibada yenye maana” ni kitu gani? Imetafsiriwa kama “tendo la kiroho la ibada” katika Biblia ya Kiingereza ya (NIV), imetafsiriwa kama ambayo tunapaswa kumpatia...

Listen

Episode 18

January 13, 2023 00:37:11
Episode Cover

SURA YA 8-12. Ni Nani Anayeweza Kudiriki Kusimama Kinyume Nasi? (Warumi 8:31-34)

Katika Warumi 8:31-34, Paulo anashuhudia juu ya upendo wa Kristo usioweza kutenganishwa na waamini kwa kufanya majumlisho ya injili ya maji na Roho na...

Listen

Episode 28

January 13, 2023 00:18:07
Episode Cover

SURA YA 14-1. Msihukumiane

Paulo aliwaonya watakatifu huko Rumi kwamba wasihukumiane wala kubishania imani za wao kwa wao. Kwa wakati huo, kwa kuwa kulikuwa na watu ambao walikuwa...

Listen