SURA YA 8-8. Roho Mtakatifu Anayewasaidia Wenye Haki (Warumi 8:26-28)

Episode 14 January 13, 2023 00:03:26
SURA YA 8-8. Roho Mtakatifu Anayewasaidia Wenye Haki (Warumi 8:26-28)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)
SURA YA 8-8. Roho Mtakatifu Anayewasaidia Wenye Haki (Warumi 8:26-28)

Jan 13 2023 | 00:03:26

/

Show Notes

Roho Mtakatifu yumo katika mioyo ya wale wanaoamini katika haki ya Mungu. Roho Mtakatifu anawafanya wao kuomba na anawasaidia kufanya hivyo. Pia Roho Mtakatifu huugua kwa kufanya maombi kwa niaba yao kusikoweza kutamkwa. Hii ina maanisha kuwa Roho Mtakatifu anawasaidia kuomba kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu. Hii ndiyo sababu wale wanaoamini katika haki ya Mungu wanaitwa wana wa Mungu. Bwana anawaahidia wao kuwa atakuwa pamoja nao wakati wote hadi mwisho wa dahari.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 5

January 13, 2023 00:38:38
Episode Cover

SURA YA 7-5. Mwili Unaitumikia Sheria ya Dhambi (Warumi 7:24-25)

Biblia inatueleza sisi pia kuwa, “kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.” Na hizo ndio sheria zinazotutawala....

Listen

Episode 12

January 13, 2023 00:45:17
Episode Cover

SURA YA 8-6. Wale Waurithio Ufalme wa Mungu (Warumi 8:16-27)

Watu wote ambao wamesamehewa dhambi zao wanaamini katika injili ya maji na Roho na wana Roho Mtakatifu katika mioyo yao. Katika 1 Yohana 5:10...

Listen

Episode 29

January 13, 2023 00:21:47
Episode Cover

SURA YA 15-1. Hebu Tuihubiri Injili Katika Ulimwengu Wote

Wale wanaoamini katika haki ya Mungu hawapaswi kuitafuta hai yao wenyewe kwa kuwa Yesu Kristo hakuitafuta haki yake mwenyewe. Wenye haki wanaishi kwa ajili...

Listen