Roho Mtakatifu yumo katika mioyo ya wale wanaoamini katika haki ya Mungu. Roho Mtakatifu anawafanya wao kuomba na anawasaidia kufanya hivyo. Pia Roho Mtakatifu huugua kwa kufanya maombi kwa niaba yao kusikoweza kutamkwa. Hii ina maanisha kuwa Roho Mtakatifu anawasaidia kuomba kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu. Hii ndiyo sababu wale wanaoamini katika haki ya Mungu wanaitwa wana wa Mungu. Bwana anawaahidia wao kuwa atakuwa pamoja nao wakati wote hadi mwisho wa dahari.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Biblia inatueleza sisi pia kuwa, “kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.” Na hizo ndio sheria zinazotutawala....
Watu wote ambao wamesamehewa dhambi zao wanaamini katika injili ya maji na Roho na wana Roho Mtakatifu katika mioyo yao. Katika 1 Yohana 5:10...
Wale wanaoamini katika haki ya Mungu hawapaswi kuitafuta hai yao wenyewe kwa kuwa Yesu Kristo hakuitafuta haki yake mwenyewe. Wenye haki wanaishi kwa ajili...