SURA YA 8-7. Kuja Kwa Bwana Mara ya Pili na Ufalme wa Milenia (Warumi 8:18-25)

Episode 13 January 13, 2023 00:16:15
SURA YA 8-7. Kuja Kwa Bwana Mara ya Pili na Ufalme wa Milenia (Warumi 8:18-25)
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)
SURA YA 8-7. Kuja Kwa Bwana Mara ya Pili na Ufalme wa Milenia (Warumi 8:18-25)

Jan 13 2023 | 00:16:15

/

Show Notes

Wale ambao ni wenye haki kwa kuamini katika haki ya Mungu basi hao wameupokea utukufu wa mbinguni. Hii ndiyo sababu wanateseka pamoja na injili ya maji na Roho ya Yesu ili kuwavika watu wote kwa utukufu huo wa mbinguni. Waamini wanajitoa wao wenyewe kwa injili ya haki ya Mungu na kisha wanateseka hapa duniani kwa sababu kushiriki katika mateso ya Kristo ni utukufu na haki.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 8

January 13, 2023 00:33:44
Episode Cover

SURA YA 8-2. Haki ya Mungu, Utimilifu wa Hitaji la Sheria Kwa Mwenye Haki (Warumi 8:1-4)

Warumi 8:1-4 inatueleza sisi juu ya aina ya imani ambayo wale walio katika Kristo wanayo. Siri ya kifungu hiki ni kwamba tunaweza kukutana na...

Listen

Episode 21

January 13, 2023 00:36:57
Episode Cover

SURA YA 9-2. Ni Lazima Tufahamu Kuwa Kuchaguliwa Tangu Asili Kulipangwa Ndani ya Haki ya Mungu (Warumi 9:9-33)

Hebu sasa tuweke umakini wetu juu ‘kuchaguliwa tangu asili kulikopangwa na Mungu”. Ili kuelewa kiusahihi juu ya maana ya kuchaguliwa tangu asili, basi tunapaswa...

Listen

Episode 20

January 13, 2023 00:32:52
Episode Cover

SURA YA 9-1. Utangulizi Kwa Sura ya 9

Kwa nini Paulo alisema kuwa anahuzuni sana na uchungu unaoendelea katika moyo wake kwa ajili ya watu wake? Ni kwa sababu Paulo alikuwa ana...

Listen