Wale ambao ni wenye haki kwa kuamini katika haki ya Mungu basi hao wameupokea utukufu wa mbinguni. Hii ndiyo sababu wanateseka pamoja na injili ya maji na Roho ya Yesu ili kuwavika watu wote kwa utukufu huo wa mbinguni. Waamini wanajitoa wao wenyewe kwa injili ya haki ya Mungu na kisha wanateseka hapa duniani kwa sababu kushiriki katika mateso ya Kristo ni utukufu na haki.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Warumi 8:1-4 inatueleza sisi juu ya aina ya imani ambayo wale walio katika Kristo wanayo. Siri ya kifungu hiki ni kwamba tunaweza kukutana na...
Hebu sasa tuweke umakini wetu juu ‘kuchaguliwa tangu asili kulikopangwa na Mungu”. Ili kuelewa kiusahihi juu ya maana ya kuchaguliwa tangu asili, basi tunapaswa...
Kwa nini Paulo alisema kuwa anahuzuni sana na uchungu unaoendelea katika moyo wake kwa ajili ya watu wake? Ni kwa sababu Paulo alikuwa ana...