SURA YA 16-1. Salimianeni

Episode 30 January 13, 2023 00:23:06
SURA YA 16-1. Salimianeni
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)
SURA YA 16-1. Salimianeni

Jan 13 2023 | 00:23:06

/

Show Notes

Katika utangulizi wake, Mtume Paulo aliwaambia watakatifu waliokuwapo Roma na kwetu sisi kwamba tunapaswa kusalimiana. Je, ni nani tunayeweza kumsalimia kwa moyo wote katika Bwana katika kipindi hiki? Kwa kweli tunaweza kuwasalimia watumishi kwa furaha na waamini wanaolihubiri Neno la Mungu katika ulimwengu mzima. Tunaweza kuwa na ushirika na wale waliookoka kwa kuvisoma vitabu vya injili ya maji na Roho. Sisi pia tuna makanisa, waamini, na watumishi wa Mungu ambao tunaweza kusalimiana nao katika Kristo.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 22

January 13, 2023 00:28:35
Episode Cover

SURA YA 9-3. Je, Ni Makosa Kwa Mungu Kumpenda Yakobo? (Warumi 9:30-33)

Katika kutuita sisi sote Bwana wetu alisema, “Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi” (Mathayo 9:13). Ni lazima tutambue kuwa karama ya...

Listen

Episode 25

January 13, 2023 00:15:29
Episode Cover

SURA YA 11-1. Je, Waisraeli Wataokolewa?

Warumi 11:1 inasema, “Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu wake? Hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu...

Listen

Episode 11

January 13, 2023 00:08:23
Episode Cover

SURA YA 8-5. Kutembea Katika Haki ya Mungu (Warumi 8:12-16)

Mtume Paulo, kama mtu aliyepokea wokovu toka kwa Mungu alisema kuwa wale waliozaliwa tena upya hawapaswi kuishi kwa jinsi ya mwili bali kwa jinsi...

Listen