Watu wamekuwa wakiteseka kwa karne tano zilizopita hali wakidanganywa na mafundisho potofu ya kiimani kama vile Fundisho la Utakatifu Unaozidi, Fundisho la Kuhesabiwa Haki kwa Imani, na mafundisho mengine ambayo yanasisitiza kuwa ukombozi unawezekana kwa kupitia sala za toba.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Kwa kuutambua ukweli kuwa kabla ya ukombozi wake mwili wake ulikuwa umehukumiwa kifo na Sheria ya Mungu, basi ndio maana Mtume Paulo alilifanya ungamo...
Ni lazima tuishi katika mipaka ya desturi za kijamii. Mungu alituamuru kuwaogopa na kuwaheshimu wale walio na mamlaka katika maisha yetu yote ya kimwili...
Wale wanaoamini katika haki ya Mungu hawapaswi kuitafuta hai yao wenyewe kwa kuwa Yesu Kristo hakuitafuta haki yake mwenyewe. Wenye haki wanaishi kwa ajili...